Wednesday, November 9, 2016

Sunday, May 29, 2016

Saturday, June 20, 2015

Saturday, July 13, 2013

Wednesday, June 26, 2013

Hodogaya International Exchange Center

 
Tumepika Pilau ya Kuku, Njegere za Nazi, Tambi za sukari na Kachumbari
 
 












Sunday, March 18, 2012

Taarifa ya Msiba

Ndungu WanaJumuiya na Wanatija,


Nasikitika kutoa taarifa ya msiba wa Baba Mzazi wa wanajumuiya na wanatija
wenzetu Abuu Njenga na Rashid Njenga (ambaye pia M/kiti wa Jumuiya ya Watanzania nchini Japan)


Msiba wa Baba yao Mzazi ulitokea usiku wa tarehe 14 March (alfajiri ya tarehe 15 kwa masaa ya Japan).
Ndugu zetu Abuu na Rashid sasa hivi wapo kwenye pilika pilika kwa maandalizi ya kurudi nyumbani
Tanzania kwa ajili ya kuwahi mazishi

Naomba tuungane kuwatakia wenzetu nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu sana kwao.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa. Jina lake l
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi

Kwa niaba ya Jumuiya ya watanzania wanaoshi nchini Japan

wenu
Bagilo Jumbe

Sunday, January 1, 2012

Sunday, September 11, 2011

Saturday, September 10, 2011