Sunday, March 18, 2012

Taarifa ya Msiba

Ndungu WanaJumuiya na Wanatija,


Nasikitika kutoa taarifa ya msiba wa Baba Mzazi wa wanajumuiya na wanatija
wenzetu Abuu Njenga na Rashid Njenga (ambaye pia M/kiti wa Jumuiya ya Watanzania nchini Japan)


Msiba wa Baba yao Mzazi ulitokea usiku wa tarehe 14 March (alfajiri ya tarehe 15 kwa masaa ya Japan).
Ndugu zetu Abuu na Rashid sasa hivi wapo kwenye pilika pilika kwa maandalizi ya kurudi nyumbani
Tanzania kwa ajili ya kuwahi mazishi

Naomba tuungane kuwatakia wenzetu nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu sana kwao.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa. Jina lake l
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi

Kwa niaba ya Jumuiya ya watanzania wanaoshi nchini Japan

wenu
Bagilo Jumbe

No comments: